Uandishi Katika Kiswahili
Kitabu hiki cha Uandishi katika Kiswahili kinamwelimisha mwanafunzi wa uandishi namna bora ya kuandika kazi yake. Kazi mbalimbali za kiutungaji zimegusiwa ikiwa ni pamoja na insha, hotuba, risala, na utungaji. Mwandishi anaelezea hatua mbalimbali za kutunga insha na kuwasilisha mawazo yako kimantiki ili msomaji aelewe kinachosemwa na mwandishi. Vilevile amegusia aina za makala na sifa bainifu ya kuzitofautisha. Kuna makala za hoja, uelezaji, ufafanuzi, ushawishi na usimuliaji. Aina mbalimbali za makosa ya kawaida ya ujengaji hoja yanagusiwa pamoja na mapendekezo ya namna ya kuyaepuka. Mbali na kazi hizo, kitabu hiki pia kinaelezea matumizi sahihi ya alama za uandishi na uakifishi. Hivyo, hiki ni kitabu kizuri kitakachokusaidia kukuza stadi yako ya uandishi.
1121137840
Uandishi Katika Kiswahili
Kitabu hiki cha Uandishi katika Kiswahili kinamwelimisha mwanafunzi wa uandishi namna bora ya kuandika kazi yake. Kazi mbalimbali za kiutungaji zimegusiwa ikiwa ni pamoja na insha, hotuba, risala, na utungaji. Mwandishi anaelezea hatua mbalimbali za kutunga insha na kuwasilisha mawazo yako kimantiki ili msomaji aelewe kinachosemwa na mwandishi. Vilevile amegusia aina za makala na sifa bainifu ya kuzitofautisha. Kuna makala za hoja, uelezaji, ufafanuzi, ushawishi na usimuliaji. Aina mbalimbali za makosa ya kawaida ya ujengaji hoja yanagusiwa pamoja na mapendekezo ya namna ya kuyaepuka. Mbali na kazi hizo, kitabu hiki pia kinaelezea matumizi sahihi ya alama za uandishi na uakifishi. Hivyo, hiki ni kitabu kizuri kitakachokusaidia kukuza stadi yako ya uandishi.
6.0 In Stock
Uandishi Katika Kiswahili

Uandishi Katika Kiswahili

by Elizabeth Godwin Mahenge
Uandishi Katika Kiswahili

Uandishi Katika Kiswahili

by Elizabeth Godwin Mahenge

Paperback

$6.00 
  • SHIP THIS ITEM
    In stock. Ships in 1-2 days.
  • PICK UP IN STORE

    Your local store may have stock of this item.

Related collections and offers


Overview

Kitabu hiki cha Uandishi katika Kiswahili kinamwelimisha mwanafunzi wa uandishi namna bora ya kuandika kazi yake. Kazi mbalimbali za kiutungaji zimegusiwa ikiwa ni pamoja na insha, hotuba, risala, na utungaji. Mwandishi anaelezea hatua mbalimbali za kutunga insha na kuwasilisha mawazo yako kimantiki ili msomaji aelewe kinachosemwa na mwandishi. Vilevile amegusia aina za makala na sifa bainifu ya kuzitofautisha. Kuna makala za hoja, uelezaji, ufafanuzi, ushawishi na usimuliaji. Aina mbalimbali za makosa ya kawaida ya ujengaji hoja yanagusiwa pamoja na mapendekezo ya namna ya kuyaepuka. Mbali na kazi hizo, kitabu hiki pia kinaelezea matumizi sahihi ya alama za uandishi na uakifishi. Hivyo, hiki ni kitabu kizuri kitakachokusaidia kukuza stadi yako ya uandishi.

Product Details

ISBN-13: 9791092789133
Publisher: Dl2a - Buluu Publishing
Publication date: 07/04/2014
Pages: 82
Product dimensions: 6.00(w) x 9.00(h) x 0.20(d)
Language: Swahili

About the Author

Mwandishi wa kitabu hiki ni Elizabeth Godwin Mahenge. Yeye ni mzaliwa wa mkoa wa Tanga, Wilaya ya Handeni (wakati huo ikijulikana kama Songe). Alizaliwa mwaka 1978. Alisoma Shule ya Msingi Chanika iliyopo Wilayani Handeni. Elimu ya sekondari aliipata katika Shule ya Sekondari Handeni iliyopo Handeni. Elimu ya sekondari ya juu aliipata katika Shule ya Sekondari Mawenzi iliyopo wilayani Moshi mkoani Kilimanjaro. Shahada ya kwanza na ya pili ameipata katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam nchini Tanzania. Shahada ya kwanza alisomea B.A (Education) Kiswahili and Fine, Performing Art; na shahada ya pili ilikuwa M.A Linguistics. Kwa sasa ni mwanafunzi wa shahada ya uzamivu katika Taasisi ya Taaluma za Kiswahili akizamia katika mada ya 'FASIHI YA KISWAHILI NA ULEMAVU'.
From the B&N Reads Blog

Customer Reviews