Uandishi Katika Kiswahili
Kitabu hiki cha Uandishi katika Kiswahili kinamwelimisha mwanafunzi wa uandishi namna bora ya kuandika kazi yake. Kazi mbalimbali za kiutungaji zimegusiwa ikiwa ni pamoja na insha, hotuba, risala, na utungaji. Mwandishi anaelezea hatua mbalimbali za kutunga insha na kuwasilisha mawazo yako kimantiki ili msomaji aelewe kinachosemwa na mwandishi. Vilevile amegusia aina za makala na sifa bainifu ya kuzitofautisha. Kuna makala za hoja, uelezaji, ufafanuzi, ushawishi na usimuliaji. Aina mbalimbali za makosa ya kawaida ya ujengaji hoja yanagusiwa pamoja na mapendekezo ya namna ya kuyaepuka. Mbali na kazi hizo, kitabu hiki pia kinaelezea matumizi sahihi ya alama za uandishi na uakifishi. Hivyo, hiki ni kitabu kizuri kitakachokusaidia kukuza stadi yako ya uandishi.
1121137840
Uandishi Katika Kiswahili
Kitabu hiki cha Uandishi katika Kiswahili kinamwelimisha mwanafunzi wa uandishi namna bora ya kuandika kazi yake. Kazi mbalimbali za kiutungaji zimegusiwa ikiwa ni pamoja na insha, hotuba, risala, na utungaji. Mwandishi anaelezea hatua mbalimbali za kutunga insha na kuwasilisha mawazo yako kimantiki ili msomaji aelewe kinachosemwa na mwandishi. Vilevile amegusia aina za makala na sifa bainifu ya kuzitofautisha. Kuna makala za hoja, uelezaji, ufafanuzi, ushawishi na usimuliaji. Aina mbalimbali za makosa ya kawaida ya ujengaji hoja yanagusiwa pamoja na mapendekezo ya namna ya kuyaepuka. Mbali na kazi hizo, kitabu hiki pia kinaelezea matumizi sahihi ya alama za uandishi na uakifishi. Hivyo, hiki ni kitabu kizuri kitakachokusaidia kukuza stadi yako ya uandishi.
6.0
In Stock
5
1

Uandishi Katika Kiswahili
82
Uandishi Katika Kiswahili
82Paperback
$6.00
6.0
In Stock
Product Details
ISBN-13: | 9791092789133 |
---|---|
Publisher: | Dl2a - Buluu Publishing |
Publication date: | 07/04/2014 |
Pages: | 82 |
Product dimensions: | 6.00(w) x 9.00(h) x 0.20(d) |
Language: | Swahili |
About the Author
From the B&N Reads Blog