UCHAMBUZI WA FASIHI

UCHAMBUZI WA FASIHI

by Shadrack K. Nyagah
UCHAMBUZI WA FASIHI

UCHAMBUZI WA FASIHI

by Shadrack K. Nyagah

Paperback

$60.37 
  • SHIP THIS ITEM
    Qualifies for Free Shipping
  • PICK UP IN STORE
    Check Availability at Nearby Stores

Related collections and offers


Overview

Ni kitabu kinacholenga kuchambua kazi tatu teule za fasihi andishi. Kitabu hiki kinaangazia riwaya ya Chozi la Heri, tamthlia ya Kigogo na hadithi fupi ya Tumbo Lisiloshiba na Hadithi Nyingine. Kitabu hiki kimetayarishwa kimaksudi kwa lengo la kumwelekeza mwanafunzi, msomi na mpenzi wa fasihi ya Kiswahili katika uchambuzi wa vipengele mbalimbali vya fasihi andishi vikiwa ni pamoja na msuko, dhamira, maudhui, mbinu za lugha, wahusika na uhusika wao. Uchambuzi huu umefanywa kwa kuoanisha dhamira ya mwandishi na hali halisi katika jamii. Isitoshe, mchakato mzima wa kuwaumba wahusika na kuyajenga maudhui umeweza kuelezwa kwa njia sahili inayomwezesha msomaji kuielewa zaidi kazi husika. Mwongozo huu unaweza kutumikizwa katika kuchambua tanzu zingine sawa na hizi. Kitabu hiki pia kina maswali kadha ya kila kitabu kilichoshughulikiwa pamoja na majibu yake. Kila swali linakusudia kumchokonoa msomaji akili nayo majibu yakalenga matarajio ya watahini. Ni kitabu cha aina yake ambacho kinaweza kutumika katika shule za upili na vyuo.

Product Details

ISBN-13: 9786200620866
Publisher: GlobeEdit
Publication date: 05/13/2021
Pages: 128
Product dimensions: 6.00(w) x 9.00(h) x 0.30(d)
Language: Afrikaans
From the B&N Reads Blog

Customer Reviews