Heri ni.

Hazitafaidi juhudi za mtu yeyote, maisha ya kupendeza na yaliyojaa maana kuyafikia. Udini na matendo yote mema hayatamsaidia mtu kupatana na kuwasiliana na Mungu. Ni bure jitihada za kumtafuta Mungu katika asili (maumbile) na falsafa (filosofia). Njia ya mwanadamu kujaribu kumfikia Mungu ni ruzu na haina msingi. Hata hisia zake zinamuarifu hivyo. Kwa hivyo hana amani. Katika fahamu zake na hata bila kufikiria mwanadamu anamtafuta Mungu. Mnyeo (tamaa) ya ferdausi (paradisi) aliyoipoteza inamtesa. Kwa nishati (nguvu) na juhudi tele mwanadamu anajaribu kwa namna fulani kuuondoa utengano kati yake na Mungu.

Mkono wa Mungu Muumba uko juu yake na mwanadamu ameumbwa kwa ajili yake Mungu (ili akawe na uhusiano na Mungu Muumba wake). Lengo la maisha ya mwanadamu sio tu kujitambua na kujitegemea. Maana ya maisha ya mwanadumu ni katika Mungu peke yake.

Mtu aitafutaye maana ya maisha atawajibika kujishuhulisha na swala kuhusu Mungu na wala hakuna njia nyingine kamwe.

1122582413
Heri ni.

Hazitafaidi juhudi za mtu yeyote, maisha ya kupendeza na yaliyojaa maana kuyafikia. Udini na matendo yote mema hayatamsaidia mtu kupatana na kuwasiliana na Mungu. Ni bure jitihada za kumtafuta Mungu katika asili (maumbile) na falsafa (filosofia). Njia ya mwanadamu kujaribu kumfikia Mungu ni ruzu na haina msingi. Hata hisia zake zinamuarifu hivyo. Kwa hivyo hana amani. Katika fahamu zake na hata bila kufikiria mwanadamu anamtafuta Mungu. Mnyeo (tamaa) ya ferdausi (paradisi) aliyoipoteza inamtesa. Kwa nishati (nguvu) na juhudi tele mwanadamu anajaribu kwa namna fulani kuuondoa utengano kati yake na Mungu.

Mkono wa Mungu Muumba uko juu yake na mwanadamu ameumbwa kwa ajili yake Mungu (ili akawe na uhusiano na Mungu Muumba wake). Lengo la maisha ya mwanadamu sio tu kujitambua na kujitegemea. Maana ya maisha ya mwanadumu ni katika Mungu peke yake.

Mtu aitafutaye maana ya maisha atawajibika kujishuhulisha na swala kuhusu Mungu na wala hakuna njia nyingine kamwe.

1.99 In Stock

eBook

$1.99 

Available on Compatible NOOK devices, the free NOOK App and in My Digital Library.
WANT A NOOK?  Explore Now

Related collections and offers

LEND ME® See Details

Overview

Hazitafaidi juhudi za mtu yeyote, maisha ya kupendeza na yaliyojaa maana kuyafikia. Udini na matendo yote mema hayatamsaidia mtu kupatana na kuwasiliana na Mungu. Ni bure jitihada za kumtafuta Mungu katika asili (maumbile) na falsafa (filosofia). Njia ya mwanadamu kujaribu kumfikia Mungu ni ruzu na haina msingi. Hata hisia zake zinamuarifu hivyo. Kwa hivyo hana amani. Katika fahamu zake na hata bila kufikiria mwanadamu anamtafuta Mungu. Mnyeo (tamaa) ya ferdausi (paradisi) aliyoipoteza inamtesa. Kwa nishati (nguvu) na juhudi tele mwanadamu anajaribu kwa namna fulani kuuondoa utengano kati yake na Mungu.

Mkono wa Mungu Muumba uko juu yake na mwanadamu ameumbwa kwa ajili yake Mungu (ili akawe na uhusiano na Mungu Muumba wake). Lengo la maisha ya mwanadamu sio tu kujitambua na kujitegemea. Maana ya maisha ya mwanadumu ni katika Mungu peke yake.

Mtu aitafutaye maana ya maisha atawajibika kujishuhulisha na swala kuhusu Mungu na wala hakuna njia nyingine kamwe.


Product Details

ISBN-13: 9783957922533
Publisher: Gospel Medien e.V.
Publication date: 08/26/2015
Sold by: StreetLib SRL
Format: eBook
File size: 2 MB
Language: Swahili
From the B&N Reads Blog

Customer Reviews